Burudani

Video: Mwandishi wa ‘Komela’ na ‘Ni Wewe’ ya Amini afunguka mazito

Msanii Criss Wamarya ambaye amewahi kufanya vizuri na wimbo wa ‘Kilomita Sita’ ameamua kufunguka mazito kuhusu nyimbo ambazo amewahi kuwaandikia wasanii kama ‘Komela’ ya Dayna Nyange, ‘Ni Wewe’ ya Amini na nyingine. Tazama mahojiano hayo aliyofanya na Bongo5 kwenye video hapa chini.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents