Burudani
Video: Nandy na Aslay wakonga nyoyo mashabiki, harusi ya DSTV
Wasanii wa muziki Bongo wanofanya vizuri kwa sasa, Nandy na Aslay usiku wa leo wameweza kukonga nyoyo za mashabiki wao pamoja na maharusi wa usiku huo Solomon na Magreth, baada ya wawili hao kutumbuiza.
Hatua ya Nandy na Aslay kutoa burudani hiyo imekuwa baada ya wanandoa hao wawili kushinda shindano la ‘Harusi ya ndoto yangu’ iliyoandaliwa na king’amuzi cha DSTV kupitia chanel yao ya Maisha Magic Bongo.