Burudani
Video: P Funk Majani awageukia wasanii “Nimesikitishwa, wengine wanaweza kushikwa na tamaa”
Mtayarishaji wa muziki @majani187 ameshangazwa na muitikio mdogo wa wasanii kwenye mkutano wa Kamati ya Haki Miliki wa kukusanya maoni ya namna sahihi yakukusanya nakugawa mirabaha.
P amewataka kuwa na umoja na kushirikiana katika vikao ya maendeleo ya tasnia yao.