Habari
Video: Trilioni 1.5 zimejulikana zipo wapi, wasiojua hesabu walipotosha – Mbunge Ditopile
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Dodoma, Mariam Ditopile amesema pesa Trilioni 1.5 ambazo zilidaiwa hazionekanani na CAG, zimejulikana zipo wapi huku akidai wabunge ambao walidai pesa hizo zimeibiwa wahawajui hesabu.