Burudani
Video: Tupo tayari kumsupport Rich Mavoko lakini apambane – Babu Tale
Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amefunguka kwa kudai kwamba ameusikiliza wimbo mpya wa muimbaji Rich Mavoko ambapo amemtaka muimbaji huyo ambaye alikuwa WCB apambane zaidi ili afanye vizuri . Tale amesema anachotakiwa msanii huyo kufanya kwa sasa ni kufuata taratibu za nchi katika kufanya muziki wake.
Kawaidaa
Kweli kabisa
Bora wakuchukue king martz ukazbe pengo lake pale
Hahahhah blessed don one day yes ila##upokmyaasanamwamba
mavoko kaingia msitu mkubwa
Nyie ma Allah ?,alafu unazani unajua future ya mwanadam
tunalipa mshahara wa dollar 100 mpaka dollar 500 tunatrain bure alafu permanent kwa maelezo zaidi piga/text/whatsapp kwa nambari 0796049763
Ni train au trainee๐๐๐
Mungu ndiye mtoa ridhiki mavoko alikuwepo kabla ya wasafi, kwenye kazi changamoto zipo
I nu sometin cud hapen, very sory soja
Wakali wa fitna kwa muziki wa bongo tunawajua taarifa zenu tunazo
Bado ujaeleweka una train nini? Je ikiwa una train majambazi ? Tutakuamini VP?
Maskini mavoco
Anazingua huyu bhn anatangaza mshahara badala yakutangaza kazi๐
Babu talent
Mnajiona kama mungu watu
Hahahaaaa
Mmajikosha musimsamini wakat mponae
๐