Habari
Video: Wanawake hawafichi mizigo yao mpaka tunakohoa kohoa – Sheikh Kipozeo
Sheikh Kipozeo ameitaka serikali pamoja na nyumba za ibada kuingilia kati sakata la maadili la vijana wa kileo huku akidai kuna wanawake wanavaa nguo ambazo hazistahili katika jamii.
Kitangii t uyoo
Huyu sio sheikh huyu ni mpumbavu tu
Mungu akusamehe
Na ww piaa
Hapo kweli huyu c sheikh ni mjinga tu
Kieehhh utapata tabu sana sheik
Angekua mkirsto ningemuita mzee wa upako. Maana ndo wanafanana akili. Mr shekhe kipulizo
Hawachekan na wine tu nimekunywa mh