Burudani
Cassper Nyovest amwaga akubali Muziki wa Diamond, Harmonize na Marioo (Video)
Usiku wa kuamkia leo nyota wa muziki kutokea Afrika ya Kusini @casspernyovest amewasili Nchini kubwa zaidi ni kuhusu show kubwa inayofanyika siku 2 mfulululizo inayokwenda kwa jina la Best Vibes ambapo wasanii wa kali watahusika kukiwasha akiwemo @diamondplatnumz na wasanii wengine
Amewataja wasanii anaowafahamu kutoka Tanzania ambapo amemtaja Diamond, Harmonize, Marioo na Dj Vasley
Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya youtube ya Bongo5
Written and edited by @abbrah255 and @el_mando_tz
Imeandikwa na Mbanga B.