Burudani
Je, Stage iliyofungwa Posta ni bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania?? (Video)
Tazama muonekano wa Stage ya ambayo msanii @diamondplatnumz pamoja na wasanii wengine akiwemo @casspernyovest watakayoitumia kuanzia leo usiku Viwanja vya Posta show kubwa ya Best Vibes
Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya youtube ya Bongo5
Written and edited by @abbrah255 & @Johnbosco_mbanga
Imeandikwa na Mbanga B.