Burudani

Video: Yamoto Band watua Dar, wazungumzia tour yao ndani ya mataifa 6 ya Ulaya

Wasanii wa kundi la Yamoto Band ametua Dar es salaam Jumanne hii wakitokea ulaya katika tour yao ya show za kimataifa.

Waimbaji hao waliweza kufanya show Sweden,Finland,Italy,Norway,Germany pamoja na Switzerland.

Wakizungumza na Bongo5 Jumanne hii wakiwa JK Nyerere Airport, walisema show hizo zimeweza kuwaongezea mashabiki wapya ndani ya muziki wao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents