Burudani

Witness atoa sababu za wasanii maarufu kuoa nje ya nchi, awajia juu warembo wa Bongo

Kwa sasa wasanii wakubwa Bongo wanapooa au wanapotaka kuoa lazima suala la kuoa mrembo kutoka nje ya nchi lichukue headlines zake.

Sasa msanii wa muziki Bongo, Witness a.k.a Kibonge Mwepesi amefunguka sababu za wasanii maarufu kuanzisha tread ya kuoa warembo kutoka nje ya Bongo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Witness ameandika;

Hivi ni nani aliwaroga wanawake wa kibongo? Wamekazana kweli witnesz hununui wigi la gharama, sijui hushonei,wanja wako siyo wa kisasa, witness haupo kama wasanii wenzio walivyo weeell (am unique thats why silinganishwi na yeyote yule) Witness haufanyi make up za gharama, haupaki lipstick za gharama etc halafu watu wakienda kuoa #KENYA mnalalamika kwa ufeki wenu.

Seriously kwa kweli bongo tunaongoza kwa fake bi***es, fake hair, fake nails, fake eye lashes, fake Chinese asses yaani its too much these bitches are even fake in bed why would you expect a real husband when everything else you own is fake? You gonna get fake boyfriends,fake husbands who are going to marry other ladies who arent fake since you attracted more fakeness in your life, indeed fake things are what your going to get!.

Makaka wanalalamika mnapenda vitu vya gharama sana, #shameonyou na kazi zenyewe hamfanyi kazi kuwageuza wenzenu swapping machines, watu wanataka wanawake wa kujenga nao maisha,wenye akili,wachapakazi na kufanya nao vitu vikubwa vya kujenga familia na kuacha legacy, mwanamke anayeona what is peruvian hair? #douaaaa bora tusave mume wangu tununue private jet, a yatch tuwekeze somewhere but all you want is show off, nikasuke hiki insta nzima na shoga zangu watanikoma hahahhahaaahah it’s too late bi***es.

Utakumbuka February 24, 2018 msanii AY alifunga ndoa  na mpenzi wake wa muda mrefu Remy kutokea nchini Rwanda, na hapo jana Alikiba alimuoa mrembo kutoka nchini Kenya. Pia mara baada ya msanii Alikiba kutangaza angeoa nchini Kenya hapo awali, Dully Sykes naye alisema kuna uwezekano wa kufanya kitu kama hicho.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents