Habari
Wizara ya Afya yatoa taarifa kuhusu wageni 6 waliochukuliwa vipimo vya Corona
Taarifa kutoka @wizara_afyatz kuhusu wasafiri kutoka Denrmark na Norway waliowasili nchini kupitia kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimajaro (KIA). #coronavirus #covid_19