Michezo
Wolves watinga ligi kuu ya Uingereza kibabe (+Picha)
Klabu ya Wolves imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi (EFL CUP) baada ya kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Reading FC na kufanikiwa kutinga Ligi Kuu ya Uingereza msimu ujao.
Wachezaji wa Wolves wameonekana mchana waleo siku ya Jumatatu wakizunguka kwenye mitaa mbalimbali huku wakiwa na furaha ya kutwaa ubingwa huo na kufanikiwa kupata nafasi ya kushiriki Ligi ya Uingereza.