Kuna kitu cha kuvutia pale msichana anapovaa miwani – tena zile za macho tofauti na zile za fashion! Humfanya mwanamke anaonekane smart, ana akili na anayejielewa.
Shilole ameamua kuja na swag hiyo na inaonekana kumtoa na kumfanya aonekane kama corporate girl fulani hivi! Check picha zake zingine hapo chini.