ZIFF yazinduliwa Bilis
Wasanii wa bongo Fleva, jumapili walifanya uzinduzi wa tamasha la filamu la Zanzibar maarufu kama Tamasha la Majahazi ZIFF, pale Bilicanas. Katika tamasha hilo liliudhuliwa na wasanii, mbalimbali akiwemo Dully Sykes, Madee, Tunda Man, Desso na Dogo janja wa Tip Top Connection, na Hard Mad.
Wamesema tamasha hilo ndiyo mwanzo wa matamasha mengine ambayo yatafanyika Zanzibar, yanayohusiana na filamu na muziki kwa kiwango cha kimataifa. katika tamasha hilo ambalo litapambwa nawasanii wengi akiwemo Shaggy, na Oliver Mtukuzi.
Dully akijiandaa kupanda jukwaani.
Mashabiki wakishangalia.
Alikiba na Madee wakiwa katika chumba cha Staff baada ya kutoka jukwaani.
Mwanamuziki Hard Mard akitumbuiza katika tamasha la uvumbuzi wa Tamasha la filamu la Zanzibar, maarufu kama tamasha la ,majahazi ZIFF
Tip Top Cponnectioni, watoa buludani kwa mashabiki wao.