2 Face ala za uso kwenye show ya Kigali, Rwanda
Mtu mzima 2 Face Idibia alijikuta akila za uso kwenye show yake ya Kigali, Rwanda, Ijumaa iliyopita.
Katika show hiyo, ni takriban watu 50 tu walihudhuria na viti vingi kwenye ukumbi huo vikibaki wazi. Lawama zimetupwa kwa waandaji wa show hiyo.
“Poor management at #2Face #Kigali concert….He is a king of flop!! Lowest turn up ever, 50 revellers showed up. DAMN,” aliandika shabiki mmoja.
Mtandao wa Thenetng ulizungumza na staa huyo ambaye naye alitupa lawama kwa waandaji.
“I’m not the organizer of the show, I don’t live in Rwanda but apparently they didn’t do their homework. No matter the artiste’s name, if you don’t do your homework, promo and hype well that’s the result you’ll get. If you take Jay Z to Lagos without proper hype, same thing will happen,” alisema.
Alipoulizwa kama alijisika vibaya kutokana na show kuhudhuriwa na watu wachache,” alisema, “Naturally I was, but then I didn’t do anything wrong. I was contracted, I went, I fulfilled my part and the few people that came, I made sure they had a nice time and that’s all that matters to me.”