Habari
Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TCRA na kuivunja bodi yake
Kimenuka. Rais wa Dkt. John Magufuli ameivunja bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA na kumsimamisha kazi Mkuregenzi wake Mkuu, Ally Yahaya Simba.
Chini ni taarifa hiyo: