Michezo

Video: Alama 3 za Kagera Sugar zilivyomzamisha Haji Manara

Sakata la Kagera Sugar na Simba SC lililopelekea kung’oka kwa aliyekuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba SC, Haji Manara, ni baada ya wekundu hao wa Msimbazi kukubali kichapo cha goli 2-1. Utata ulizuka siku chache baadaye baada ya Simba kudai Kagera Sugar ilimchezesha mchezaji, Mohamed Fakhi anayesemekana kuwa alikuwa na kadi tatu za njano.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents