Burudani
Rayanny hakufika kwenye tukio la Zuchu, Sallam sk ampigia simu, aimba wimbo wa Mbosso (+Video)
Katika tukio la kutangazwa show maalumu ya @officialzuchu ambalo lilihudhuriwa na wasanii wote wa WCB wakiongozwa na @diamondplatnumz @rayvanny hakuweza kufika kutokana na mjukumu mengine hivyo alipigiwa simu na @sallam_sk kwa ajili ya kutoa neno lake kwa @officialzuchu na haya ndio yalikuwa maneno yake.