Michezo

DERBY: Yanga na Simba sio Oktoba 18 tena, kupigwa tarehe hii

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeifanyia mabadiliko katika mchezo  namba 61 wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania msimu wa 2020/2021 kati ya Young Africans SC na Simba SC uliokuwa uchezwe Oktoba 18, 2020. Sasa utachezwa Novemba 7, 2020 saa 11:00 jioni kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents