Azam wameonesha umwamba mbele ya Mnyama na kuondoka na ushindi wa goli 2-1.
Magoli yakifungwa
Lusajo Mwaikenda ⚽️
Prince Dube ⚽️
Sadio Kanoute ⚽️
Kilichowahukumu #SimbaSC ni kukosa mbadala wa wachezaji kutoka kwenye Benchi lao, wengine majeruhi na wapo ambao hawana Quality. Kikosi cha Simba ni kile kile hata.
@azamfcofficial sasa watasubiri mshindi kati ya Yanga na Singida Big Star kwenye mchezo wao wa nusu fainali.