Burudani
BASATA washikwa kigugumizi kujibu sakata la WCB na Rich Mavoko ‘nyie mmesikia kafukuzwa tayari?’ (+video)
Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) leo limewakutanisha tena Rich Mavoko na Uongozi wa WCB akiwemo Diamond Platnumz kujadili ishu ya mkataba inayoendelea kati ya msanii huyo na lebo ya WCB.
BASATA wameshindwa kueleza kwa kina ni mambo gani waliyoafikiana lakini wamesema wanachojua ni kwamba Rich Mavoko yupo WCB na hajafukuzwa hizo ni ishu za mitandaoni.
zilipendwa
Wamlipe rich bana tutaki shobo
Alipe pessa yawatu rich mavoko
Mbona mnasumbua rich jameni….. Shobo hatutaki
w mlipe wakati wao ndio wanaomdai pesa za kuvunja mkataba
Mwanangu rich ndo anadaiwa pesa mingi sana hata kukonda kakonda sio poa labda wamuonee huruma
Wamlipeje rich wakati yeye mdaiwa kavurugwa mpaka kuongea na waandishi anashindwa
Ilaminavo jua rich mavok alifanya kosa kwakuw hatauweunajua kuimba bila mashabiki huo so mziki kwhyo kutokuwaweka uwazi
nimekubali upo vizuri
Ela hana alaf analeta shobo ss wakacho mfanyia WCB kumuweka benchi mkataba wa miaka kumi uishe ndio aanze kutoa nyimbo ukimwaga ugari tunamwaga mboga ðŸ˜