Habari

Diamond, Lady Jaydee, Samatta, Idris, Flaviana na wengineo watoa neno kwa Lissu

Masuper Star mbali mbali wa Bongo wameungana kutoa salamu za pole na kumtakia heri Mbunge wa Singida KaskazinI, Mhe. Tundu Lissu ambaye leo hii amepatwa na mkasa wa kushambuliwa kwa kupigwa risasi mjini Dodoma.

Kupitia mitandao ya twitter na instagram wametoa pole hizo, miongoni mwao ni Joh Makini, Diamond, Lady Jaydee, Mbwana Samatta, Idris Sultan, Flaviana Matata, Wakazi, Nisher, Linex, Joh Makini na wengineo.

jidejaydeeMwenyezi Mungu aliekuumba akakuinue kutoka kwenye kitanda walichokulaza binadamu tusiowafamu
Huwa tunaamini kwa jina la Baba, la mwana na la roho mtakatifu ??????????????
#PrayForTunduLissu

wakazimusicThey are afraid so they tryna silence us, If they could they would, shoot us in broad day with silencers, and line us up, ask us whose side is us © Wakazi #JusticeLeague

diamondplatnumzInshaAllah Mwenyez Mungu Akusmamie na kukurudishia Afya njema…?

kalajeremiaheEWE MUNGU WA IBRAHIM MUNGU WA YAKOBO MUNGU WA ISAKA KAWE MUNGU WA LISSU SASA NA HATA MILELE TWAOMBA.

samagoal77Hii sio habar nzuri mungu atamponya tumuombe, so sad

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents