Michezo

Droo ya robo fainali ya ‘UEFA’ yatoka,Man United kukutana na Bayern Munich

Droo ya robo fainali ya ligi kuu ya mabigwa Ulaya, UEFA leo imetoka ambapo mabingwa watetezi Bayern Munich watakutana na Manchester United kwenye uwanja wa Old Traford.

BjP4U6_CYAAYcY7

Wakati huo huo, Chelsea itasafiri mpaka kwa mabingwa wa Ligue 1, PSG kabla ya mechi marudiano itakayochezwa katika uwanja wa Stamford Bridge.

Timu ngingine ni Barcelona Vs Atletico de Madrid,Real Madrid CF Vs Borussia Dortmund,ambapo mechi hizo zinatarajia kufanyika kuanzia April 1 mpaka April 9.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents