Forbes wataja maeneo 20 yakutembelea duniani kwa mwaka 2020, Afrika Mashariki yatoa jiji moja (+picha)
Jarida maarufu duniani la Forbes kushirikiana na kampuni ya utalii ya Ovation Travel Groups imetaja maeneo 20 bora zaidi yakutembelea kwa mwaka 2020.
Kwenye orodha hiyo Afrika Mashariki imetoa Jiji moja la Kigali nchini Rwanda huku Afrika Kusini na Morocco zikifanikiwa kuingiza Jiji moja moja.
Forbes kwenye orodha hiyo, wametumia vigezo vya miundombinu, Idadi ya vivutio vya utalii na usalama wa raia wa kigeni. Tazama orodha kamili ya maeneo ya kutembelea kwa mwaka 2020.
1. Amangiri/Lake Powell, Utah/Antelope Canyon, Arizona – Marekani
2. Palermo/Sicily – Italy
3. Cape Town – Afrika Africa
4. Bariloche/Patagonia – Argentina
5. Kigali – Rwanda
6. Marrakech – Morocco
7. Porto/Douro Valley – Ureno
8. Tel Aviv – Israel
9. Atacama Desert – Chile
10. Dubrovnik – Croatia
11. Tokyo – Japan
12. Pigeon Forge, Tennessee – Marekani
13. Kotor – Montenegro
14. Cabo San Lucas/Los Cabos – Mexico
15. Chiang Mai – Thailand
16. Machu Picchu/Cusco – Peru
17. Melbourne – Australia
18. Mendoza – Argentina
19. Vira Vira – Chile
20. San Miguel del Allende – Mexico