Burudani
Happiness Magese ahudhuria harusi ya kifahari ya Tiwa Savage iliyofanyika Dubai, wageni walipewa iPhone za dhahabu
Miss Tanzania, 2001, Happiness Millen Magese, alihudhuria harusi ya kifahari ya mwanamuziki wa Nigeria, Tiwa Savage na Tunji Teebillz iliyofanyika kwenye hoteli ya Armani, iliyopo katika jingo refu zaidi duniani, Burj Khalifa mjini Dubai.
Millen na Tiwa Savage
Harusi hiyo ilifanyika Jumamosi, April 26.
Millen Magese na Don Jazzy
Miongoni mwa mambo yaliyotia fora kwenye harusi hiyo ni pale CEO MAVIN Records Don Jazzy alipowapa wanandoa hao gari mpya ya SUV.
Kingine ni wageni wote kwenye harusi hiyo kupewa customized iPhones.
Tiwa-Tee-Billz-Custom-iPhone