Burudani

Happiness Magese ahudhuria harusi ya kifahari ya Tiwa Savage iliyofanyika Dubai, wageni walipewa iPhone za dhahabu

Miss Tanzania, 2001, Happiness Millen Magese, alihudhuria harusi ya kifahari ya mwanamuziki wa Nigeria, Tiwa Savage na Tunji Teebillz iliyofanyika kwenye hoteli ya Armani, iliyopo katika jingo refu zaidi duniani, Burj Khalifa mjini Dubai.

10175262_230316713831237_1408767654_n
Millen na Tiwa Savage

Harusi hiyo ilifanyika Jumamosi, April 26.

6afdee12cd8e11e387ae0002c9dc0dc8_8
Millen Magese na Don Jazzy

Miongoni mwa mambo yaliyotia fora kwenye harusi hiyo ni pale CEO MAVIN Records Don Jazzy alipowapa wanandoa hao gari mpya ya SUV.

10311247_664582836965596_1745382137_n
Kingine ni wageni wote kwenye harusi hiyo kupewa customized iPhones.

gold-iphone-tiwa-and-teebillz
Tiwa-Tee-Billz-Custom-iPhone

Tiwa-Tee-Billz-Custom-iPhone-600x600

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents