Burudani

Hatimaye Ray C amjibu TID

Baada ya kukaa kimya kufuatia kutukanwa na TID kupitia mtandao wa Instagram, Ray C amemjibu staa huyo.

Ray C

“Hi everyone!!!Asanteni kwa maombi yenu!mama anaendelea vizuri Mungu ni Mwema…………(na kuhusu @tidmnyama -Nimeona post yako,Asante kwa matusi yako ila sikuwa na nia mbaya tofauti na ulivyofikiria anyway Nakuombea kwa Mungu akuepushe na majanga ya dunia!ubarikiwe sana babaa,” ameandika Ray C.

Ray C ametoa kauli hiyo baada ya siku kadhaa zilizopita TID kumtukana baada ya kucomment kwenye post yake: Come let’s talk Tid ur the best musician in east Africa pls lets talk @tidmnyama.” Hata hivyo Ray C hakufafanua anataka waongee kuhusu jambo gani na TID.

TID alijibu: “Bi*ch leave me alone am not ur type also I don’t need shit from you,ur mistake is yours nakuomba can u jus f*ck off,help ur boyfriend,I have never liked you,full stop,”.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents