Michezo
Hizi ndio timu zilizoingia nusu fainali ya EFL Cup
Timu zitazocheza nusu fainali ya EFL Cup baada ya Arsenal kutolewa kwa kupata kipigo chao bao 2-0 kutoka kwa timu ya Southampton.
Magoli ya Jordy Clasie na Ryan Bertrand yaliipeleka Southampton hatua ya nusu fainali kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1987.
Mechi za nusu fainali EFL Cup