Michezo

Hizi ndio timu zilizoingia nusu fainali ya EFL Cup

Timu zitazocheza nusu fainali ya EFL Cup baada ya Arsenal kutolewa kwa kupata kipigo chao bao 2-0 kutoka kwa timu ya Southampton.

3ae69eb300000578-0-image-m-5_1480586805367

Magoli ya Jordy Clasie na Ryan Bertrand yaliipeleka Southampton hatua ya nusu fainali kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1987.

Mechi za nusu fainali EFL Cup

efl-cup

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents