Bongo Movie

Irene Uwoya kuja na tamthilia yake mpya iitwayo ‘Drama Queen’

Mwigizaji wa filamu, Irene Uwoya baada ya ukimya wa muda mrefu bila kuachia kazi, anajipanga kuachia tamthilia yake mpya iitwayo ‘Drama Queen’.

Irene Uwoya

Akiongea na Bongo5 Alhamisi hii, Uwoya amesema tamthilia kwa sasa zinalipa vizuri kutokana na runinga nyingi kuhitaji tamthilia.

“Nataka kufanya tamthilia ambayo inaitwa Drama Queen,” alisema Uwoya “Mimi ndio Drama Queen mwenyewe, na niliamua tu kufanya kitu tofauti ili kuleta ushindani katika game.”

Katika hatua nyingine, Irene Uwoya amewataka mashabiki wake kusubiria kazi zake mpya za filamu ambazo atazitangaza hivi karibuni.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents