Michezo

Jay Z na Beyonce waisaidia Cleveland Cavaliers kuifunga Golden State Warrior

Beyonce alisitisha ziara yake ‘Formation Tour’ na kuhudhuria kwenye mchezo kikapu wa sita kati ya Golden State Warrior dhidi ya Cleveland Cavaliers akiwa na mumewe, Jay Z.

90c8a860751b252e58c26f97e05856c4_XL

Mastaa hao walikuwa kivutio kikubwa kwenye mchezo huo ambao walionekana kuitia nguvu kwa kuonyesha ushirikiano kwa timu yao hiyo ya Cleveland Cavaliers ambayo iliibuka na ushindi wa vikapu 115 dhidi ya vikapu 101 vya Golden State Warrior.

Mpaka sasa timu hizo zinasubiria mchezo wa mwisho [saba] ambao utachezwa kwenye uwanja wa Cleveland Cavaliers ndiyo utaamua nani mshindi kutokana na timu hizo kila moja imeshinda mechi tatu kwenye michezo sita iliyopita.

Taza video hapa.
https://youtu.be/9Bz1KvhUcLs

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents