Burudani
Kanye West apigwa ‘boo’ za kutosha baada ya kudai angempigia kura Trump
Kanye West si mtu wa mchezo mchezo lakini Alhamis hii maneno yake yalimtokea puani.
Ni kwasababu alijikuta akizomewa vikali Alhamis hii baada ya kuwaambia watu watu waliokuwa wamehudhuria show yake kuwa angempigia kura Donald Trump.
“I told you all I didn’t vote right? … But if I were to have voted, I would have voted for Trump,” alisema kwenye show yake ya San Jose, California.
“This is about the idea of a black guy liking Trump. They thought they had me because … just because I was black or just because I was a celebrity. But Trump is our president. And that would’ve been my vote, so I feel right, ” aliongeza.
Maneno hayo yaliwakera watu wengi waliomzomea. Yeezy amedai kuwa atawania urais wa Marekani mwaka 2020.