Habari
Kauli ya Mbowe tangu uchaguzi wa Kinondoni na Siha ufanyike (+video)
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Taifa CHADEMA, Freeman Aikael Mbowe amezungumza kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi wa marudio ufanyike katika Jimbo la Kinondoni na Siha, pamoja na hayo amezungumzia mambo mengine mengi sana kuhusu chama hicho. Sikiliza video hii akieleza.