Habari
Kijana mwingine wa kitanzania awezeshwa na Airtel Fursa
Tazama video hii kuona Airtel Fursa ilivyomuwezesha Maryana anayejishughulisha na uvuvi mkoani Mwanza kufikia ndoto yake ya kuwa supplier wa samaki mkubwa kabisa nchini.
YouTube video: https://youtu.be/-Fg_XLIYE-8
Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana, kuwapa nafasi ya kujiendeleza kibiashara na ujuzi utakoawawezesha kuimarisha biashara zao.
Bofya hapa: http://goo.gl/ECdVkc na wewe ukamate fursa na Airtel.