Hit maker wa wimbo I wish @_kusah_ amefunguka mengi kuhusu yeye pamoja na Mama mtoto wake ambaye pia ni staa wa filamu @auntyezekiel .
Muimbaji huyo amefunguka kwamba mpenzi wake huyo hata kama atam-cheat mara 100 bado ataendelea kuwa wake kwa sababu anampenda sana.
Kuangalia full interview tembelea YouTube ya Bongo5
Written and edited by @yasiningitu