Habari

Kuwait yatoa mabilioni kwa ajili ya kujenga barabara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ameishukuru serikali ya Kuwait kwa kutoa shilingi bilioni 110 kujenga barabara ya Chaya – Nyahua mkoani Tabora yenye urefu wa Kilometa 85 ambayo itaunganisha mawasiliano ya barabara kati ya mkoa wa Singida na Tabora.


Rais Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem Ibrahim Al Najem alipofika kumtembelea Ikulu jijini Dar es salaam

Soma taarifa kamili:


Na Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents