Michezo

Lionel Messi akubali mkataba mpya na Barcelona hadi mwaka 2018

Lionel+Messi+Tops+T+Shirt+TGydgbM2H8bl

Mshambuliaji Lionel Messi amekubali kuongeza mkataba wake na klabu ya Barcelona ambapo atakuwa na klabu hiyo hadi mwaka 2018.

Wengine walioongeza mkataba ni pamoja Xavi na Carles Puyol watakaokuwa na klabu hiyo hadi mwaka 2016.Mkataba wa sasa wa Messi unaisha June 2016.Mchezaji huyo ameufurahia mwaka huu kwa kufikisha goli lake la 90 kwa mwaka 2012.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents