Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Mandonga adai hamjui Sallam Sk, hakuna Mluguru anaitwa Sallam
Siku ya Bondia Manndonga amefanikiwa kushinda tuzo ya kuwa bondia bora Tanzania na baada ya tuzo hizo alifanikiwa kuonngea na wana habari.
Baada ya kuongea nao aliulizwa kuhusu pambano alke na Meneja wa Diamond Sallam Sk na Mandonga akajibu hamjui Sallam Sk na kusema Sallam ni nani??
Mandonga akaongeza kuwa hakuna Mluguru anaitwa Sallam Sk