Afya
Masanja Mkandamizaji aungana na Shilole, Goodluck Gozbert kugawa barakoa na sanitizer mtaani (+ Video
Mtumishi wa Mungu Masanja Mkandamizaji @mkandamizaji leo ameamua kurudisha kwa jamii baada ya kuamua kwenda katika kituo cha daladala cha Mkaumbusho kuwapelekea akina Mama na wafanyabiashara wadodogo vifaa vya kujikinga na Corona ikiwemo Ndoo za bkunawia, Sanitizer na Barakoa.
@mkandamizaji ameamua kufanya hivyo kwa lengo la kuwaepusha akina mama ambao wanahudumia watu mbalimbali mfano chakula na mengineyo akiungana na mamantilie @officialshilole msanii wa Injili @goodluckgozbert na Jimmy.