Habari
Mdee kaachini, hakuna samahani- Naibu Spika Mussa Azzan Zungu (+Video)
Mbunge, Halima Mdee amejichanganya kwenye kanuni huku Naibu Spika wa Bunge Mhe. Mussa Azzan Zungu akimrekebisha.
”Hizi kanuni sisi tunalala nazo na ukasema ipo kwenye kanuni ya 52, 4 kanuni mpya ambayo hakuna sasa unanyanyuka unataka kuniambia hakuna,”- Mhe. Mussa Azzan Zungu