Habari
Menejimenti ya utumishi wa umma yatoa tahadhari
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imesema kwamba, kumekuwa na utapeli unaofanywa na watumishi kupitia simu za mkononi, kwa kuombwa miadi na watu wanaodai kufanyakazi serikalini.
Pata taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo