Burudani

Nandy amchukua Mr Blue kwenye remix ya Nagusa Gusa

Nandy ameamua kumchukua Mr Blue kwaajili ya remix ya ngoma yake, Nagusa Gusa.

13557058_1621979664760259_2126904976_n

Amesema ameamua kuja remix ili kutafuta ladha tofauti. Akiongea kwenye kipindi cha Extra Fleva cha Uplands Fm – Njombe kinachoendeshwa na Ergon Elly,Nandy alisema awali kwenye wimbo huo alitakiwa kumshirikisha msanii lakini kwa kuhohofia maneno ya watu kuwa amebebwa, ilibidi autoe akiwa mwenyewe.

Ameongeza kuwa remix imechangamka zaidi na baada ya Fiesta watashoot video yake.

Msikilize zaidi hapo chini.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents