Burudani
New Music: Kabago f/ Hard Mad – Tanzania
Rapper mkongwe wa kundi la zamani la BWV, Kabago, amevunja ukimya wake kwa kuachia kazi yake mpya iitwayo Tanzania. Kwenye ngoma hiyo iliyorekodiwa katika studio za K Records za Mwanza, ameshirikishwa msanii wa dancehall, Hard Mad.