Hatimaye video mpya ya Linah aliyoifanya Afrika Kusini na muongozaji GodFather imeachiwa rasmi. Wimbo unaitwa ‘Ole Themba, video na audio vyote vimefanyika Afrika Kusini. Linah ambaye kwa sasa ana uongozi mpya uitwao No Fake Zone Entertainment (NFZ), jana ameagwa rasmi na Tanzania House of Talenta (THT) iliyompika na kumlea hadi alipopata jina na kuanza kujitegemea.
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
Huu ndio uamuzi wa Tip Top kuhusu Dogo Janja baada ya kulalamika kuwa wanambaniaFebruary 22, 2016 - 9:00 am
-
Nay Wa Mitego kuachia video ya ‘Shika Adabu Yako’ wiki hii licha ya BASATA kuufungia wimbo huoFebruary 22, 2016 - 7:00 am