Burudani
Ombi la ‘threesome’ lamfanya Karrueche Tran ambwage tena Chris Brown!!
Wakati ambapo kila mtu anahisi Chris Brown na Karrueche Tran wanaishi raha mustarehe, kuna ripoti ya kushtusha kuwa wawili hao wameachana baada Chris kumuomba Kae threesome (mapenzi yanayohusisha watu watatu).
Inasemekana kuwa kuwa Kae amemind kiasi ambacho amemgomea kumpa ‘tunda’ ili kumpa somo huku pia akifuta picha zao kwenye akaunti yake ya Instagram.
Chris anadaiwa kumuomba Kae wafanye threesome (one na kasha kupost picha ya nusu uchi ya mrembo huyo.