Burudani

Picha: Jokate habanduki kwa Kiba, amfuata Kenya, ashuhudia wakirekodi na Sauti Sol

Jokate Mwegelo hatoki begani mwa mahabuba wake, Alikiba.

11910136_147181532285484_807925537_n

Wawili hao wapo jijini Nairobi, ambapo Kiba yupo kurekodi kipindi cha Coke Studio na Jokate ameamua kuungana naye kumsaidia kumpunguzia baridi la jiji hilo ambalo kipindi hiki linadaiwa kuwa katika kilele chake.

Jokate ameshare picha kadhaa kwenye Instagram zikimuonesha akiwa na hitmaker huyo wa Mwana na pia kumshuhudia mwandani wake huyo akirekodi wimbo anaofanya na kundi Kenya, Sauti Sol.

11925835_863410010403993_1708931298_n

Hata hivyo huenda Jokate akawa ameenda pia kufanya kazi zake binafsi kwakuwa katika picha moja anaonekana akiwa na mtangazaji mrembo wa TV wa nchini humo, Sarah Hassan.

11356856_1476774022622816_64077804_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents