Michezo
Picha: Kikosi cha Azam FC wakiwa wanaelekea South Africa
Kikosi cha wachezaji 24 wa Azam FC ambacho kimeondoka nchini leo kwa ajili ya mechi yake ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Bidvest.
Azam wameondoka wakiwa wamevaa kimataifa zaid baada ya kuvaa vazi la Suti kama ambavyo huwa wanafanya timu zingine za Ulaya.
Azam FC inakwenda nchini Afrika Kusini kwenda kuwavaa wenyeji wake hao ambao wanatokea katika jiji la Johannesburg.