Habari
Picha: Makamu wa Rais awasili Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewasili mkoani Arusha tayari kufungua Kongamano la 8 la mwaka la Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi linalofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Arusha (AICC).
Makamu wa Rais amepokelewa na Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. Mrisho Gambo na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango.
By Peter Akaro & Emmy Mwaipopo