Picha: Mazishi ya Mangwair – Morogoro
“Rafiki wa Marehemu M2THEP2 naye alikuwepo kumuaga swahiba wake
“Miraj Kikwete akipita kutoa heshima za mwisho
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendela akitoa pole kwa wanafamilia
TID na Nyandu Tozi nao walikuwepo
“Afande Sele akiongea kwa niaba ya wasanii wa Morogoro
“Baadhi ya wasanii wa kike waliokuwepo Morogoro Recho,Baby J,na Dayna
Bondia Francis Cheka akitoa heshima za mwisho
Chidi Benz akiuga mwili wa rafiki yake
“Dida
Hapa sugu akiongozwa na Mkoloni akimpeleka sehemu ya kukaa wageni
Hapa Mh.Sugu akisalimiana na Miraj Kikwete
Hapa Ndipo alipopumzishwa Albert Mangwea
Hapa wakipieana pole ya msiba
Hapo Mh.Sugu alipo kuwa akiwasili uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro
Hawa baadhi ya wasanii wa Bongo movie walikuwepo Makaburini
Huu ndo umati uliyojitokeza makaburini kumzika Ngwea
Man Water
Huu umati ulikuwa sio mchezo, wengine walikuwa na mabango Makaburini
Daz Baba akiwa ameshika shada
“rafiki wa karibu wa marehemu Mangwea Dark Master akiwa ameshika shada la kuweka kaburini