Picha
Picha ya siku: Mchoro wa ‘Zombi’ uliochorwa na mwanafunzi wa form 4 kwenye karatasi ya majibu
Hii ni picha ya Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Joyce Ndalichako akionyesha karatasi ya majibu ya mmoja wa watahiniwa wa mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2012, Dar es Salaam jana. Picha na Edwin Mjwahuzi (Mwananchi).