Well guys, usiku wa leo ndiyo ilikuwa the first fashion event kwa mwaka 2013. Ladies and gentlemen “Lady In Red” imefanyika katika kiota cha Hoteli ya kimataifa ya Serena, ikiandaliwa na kampuni ya Fabak Fashions ya mbunifu mkongwe asia Idarous. Kama kawaida bongo5. com ilikuwepo na hii ndio sneak pick ya waliotokelezea kwenye Red Capet.