Habari
Serikali imeanza kuwashughulikia wahalifu Kibiti
Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema Serikali imeanza kuwashughulikia wahalifu katika eneo la Kibiti na Rufiji na kuhakikisha inakomesha tatizo hilo.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo